Loading...

PAUL Makonda Amtaka DC wa Ubungo Kufuata Nyayo zake


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo (Alhamisi) amemwapisha Mkuu mpya wa Wilaya ya Ubungo, Kisale Makori na kumtaka kutokaa ofisini na kusubiri taarifa  badala yake atoke nje na kusikiliza kero za wananchi wa wilaya hiyo.

Makonda amesema changamoto kubwa ya watendaji ni uwajibaki na kwamba baadhi yao hupenda kusubiri kupelekewa taarifa za wananchi ofisini badala ya kuwafuata wananchi katika maeneo yao.

"Naomba Makori usiwe mtu wa kusubiri taarifa ofisini pekee.Wanaubungo  wanamatumaini  makubwa na wewe kwa sababu umeaminiwa na Rais (John Magufuli),"amesema Makonda.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright KISWAGA BLOG
Back To Top