Loading...

Wanaouza viungo vya Watu wakamatwa

 


Utawala nchini Misri umewakamata madaktari, wauguzi na maprofesa wanaoshukiwa kuwa kwenye mtandao wa kimataifa wa biashara ya viungo vya binadamu.

Kukamatwa kwa takriban watu 25 siku ya Jumananne pia kuliwahusisha wale wanaonunua viungo hivyo.

Utawala pia ulipata mamilioni ya dola na dhahabu.

Ni kinyume cha sheria kununua viungo vya binadamu nchini Misri lakini umaskini husababisha watu wengi kuuza viungo vyao.

Shirika la kupambana na ufisadi lenye nguvu, linadai kuwa mtandao uliolengwa uliwajumuisha wamasri na waarabu na ulitumia fursa hali ngumu ya kuichumi ya watu kununua viungo vya watu na kisha kuviuza kwa faida kubwa.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright KISWAGA BLOG
Back To Top