Loading...

MEYA Chadema aeleza Ubungo Aitakayo


Meya wa Manispaa ya Ubungo jijini Dar es Salaam, Boniface Jacob amesema kuanzia mwezi ujao wataanza  oparesheni ya kukusanya mapato yatakayokwenda kwenye miradi ya maendeleo.

Jacob alitoa kauli hiyo juzi baada ya kukakibidhi msaada wa Sikukuu ya Krismasi zenye thamani ya Sh2 milioni kwa makundi mbalimbali wakiwamo watu wasiojiweza.

Miongoni mwa zawadi hizo ni mbuzi tano, mchele kilo 200, juisi na guni la viazi.

Alisema halmashauri hiyo ni mpya na bado hawajajua mapato yanayokusanywa kwa mwezi ingawa lengo ni kufikia Sh36 bilioni kwa mwaka.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright KISWAGA BLOG
Back To Top