Loading...

MC Pilipili: Nimerudi Darasani Kujinoa Kimombo ili Kujiandaa Kwenda Kimataifa


Mchekeshaji maarufu nchini, Emmanuel Mathias aka MC Pilipili amesema amerudi darasani kujinoa zaidi katika lugha ya Kiingereza, kama sehemu ya mikakati yake ya kwenda kimataifa.

Kwenye interview niliyofanya naye, Pilipili amesema japo Kiingereza ni lugha anayoielewa, angependa kuifanya iwe laini zaidi mdomoni mwake. Amesema tayari amemaliza kozi ya kwanza pale British Council na tayari ameshaona mabadiliko.

“Nimepiga pale miezi yangu mitatu, naanza mingine January halafu nitapiga module yangu ya tatu,” amesema.

“Nafanya hivyo kwasababu naamini kwamba once the student is ready, teacher will appear. Kwamba nitakapokuwa tayari kwaajili ya kimataifa, kwahiyo hata gigs za kimataifa zitaanza kutokea kwasababu unaanza kufanania.”

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright KISWAGA BLOG
Back To Top