Mbunge Godbless Lema amerejeshwa tena rumande leo baada ya rufaa yake ya
kupinga kunyimwa dhamana kushindikana kusikilizwa kama ilivyokuwa
imepangwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo.
Rufaa hiyo ya Lema iliyokuwa umepangwa kusikilizwa leo imeshindikana
baada ya upande wa Jamhuri kukata rufaa kupinga kuongezwa muda wa
kuwasilisha notisi ya rufaa.
Upande wa mtuhumiwa uliongezea muda wa kuwasilisha notisi ya kukata
rufaa kupinga kunyimwa dhamana baada ya kushindwa kufanya hivyo katika
muda uliokuwa umepangwa awali.
Mbunge Godbless Lema ambaye alikamatwa Novemba 2 mwaka huu mjini Dodoma
amerejeshwa rumande katika gereza la Kisongo jijini Arusha.
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.
Post a Comment