Diamond Platnumz weekend hii amepost picha instagram akiwa safarini na
Mama yake kuelekea Afrika Kusini huku kwenye picha hiyo akiwa ameandika
ujumbe ambao unaonyesha huwenda mpenzi wake Zari amejifungua.
Mapema mwezi uliopita katika hatua za kujiandaa na mapokezi ya mtoto
huyo, Zari alifanya baby shower nchini Afrika Kusini na kuwashirikisha
marafiki zake na watu wa karibu.
Jumapili hii Diamond akiwa safarini na mama yake kwenda Afrika Kusini, ameandika :
Na mama Chibu D Chibu De … flying to our new Second home, South africa
For my New Born… #MiniMe #ChibuJunior #YoungSimba #YoungLion Ungependa
nimpe jinangani eti?😊
Kama Zari amejifungua basi huyo ni mtoto wake wa pili na Diamond. Pia atakuwa mtoto wake wa tano kwa ujumla.
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.
Post a Comment