Loading...

MWENYEKITI wa UVCCM Aliyeshitakiwa Kwa Kughushi Kitambulisho Cha Usalama wa Taifa Aachiwa Huru


Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM), Arusha ameachiwa huru baada ya Jamhuri kusema hawana nia kuendelea na kesi hiyo, Mwenyekiti huyo wa UVCC alidaiwa kughushi kitambulisho cha Usalama wa Taifa.

Jeshi la Polisi Mkoani humo lilimkamata mnamo Septemba 2017 Mwenyekiti huyo wa UVCCM Mkoa ndugu Lengai Ole Sabaya kwa tuhuma za kughushi nyaraka mbali mbali za serikali (vikiwepo vitambulisho vya Idara ya Usalama wa Taifa ). VIDEO:

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright KISWAGA BLOG
Back To Top