Loading...

Magari zaidi ya mawili likiwepo basi la New Force yamegongana leo asubuhi jijini Mbeya

 
Ajali ya barabarani imetokea leo asubuhi eneo la Igurusi mkoani Mbeya ikiwa imehusisha basi la abiria mali ya Kampuni ya New Force, malori mawili ya mizigo na gari jingine dogo.Basi hilo la abiria hufanya safari zake kati ta Tunduma na Dar es Salaam.

Jeshi la Polisi bado halijatoa taarifa kuhusu chanzo cha ajali hiyo na kama kuna watu waliofariki  kutokana na ajal hiyo.

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright KISWAGA BLOG
Back To Top