Ajali
ya barabarani imetokea leo asubuhi eneo la Igurusi mkoani Mbeya ikiwa
imehusisha basi la abiria mali ya Kampuni ya New Force, malori mawili ya
mizigo na gari jingine dogo.Basi hilo la abiria hufanya safari zake
kati ta Tunduma na Dar es Salaam.
Jeshi la Polisi bado halijatoa taarifa kuhusu chanzo cha ajali hiyo na kama kuna watu waliofariki kutokana na ajal hiyo.
Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.
Post a Comment