Loading...

Majambazi Yawachezesha ‘Kwaya’ na Kuwapigisha ‘Maombi’ Wenye Nyumba Kabla ya Kuwaibia

Baba wa familia iliyoporwa jana katika mtaa wa Epe mjini Lagos nchini Nigeria, amesimulia kuwa Majambazi waliwaamuru kushiriki nao kucheza kwaya na kumtukuza Mungu kwanza kwa maombi kabla ya kuwapora mali zao.

Bwana huyo aliyefahamika kwa majina ya Michael Oyuma, amesema majambazi hayo licha ya kuwa na silaha mbalimbali lakini pia kila mmoja alikuwa na biblia mkononi.

Amezitaja mali zilizoibiwa kuwa ni pamoja na simu za mkononi, Kompyuta mpakato mashine za mazoezi na za kufulia pamoja na fedha taslimu.

Taarifa inasema Majambazi hao waliendesha Ibada ya dakika 15 ‘Wakinena kwa Lugha’

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright KISWAGA BLOG
Back To Top